Thursday 2 May 2013

HUMMER Q AMTOA MKEWE MANUNDU BAADA YA UTAMBULISHO WA TX MOSHI


Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu
 
Nguo za Hammer Q zikiwa zimetapakaa damu

Hiki ni kipigo ambacho  Salha  alikipata baada ya kumtambulisha rafiki yake wa kiume ambae ni Tx Moshi kwa mumewe Hammer Q.
Baada  ya  utambulisho  huo....sinema  ya  ngumi  na  mateke  ilianza....
Inavyosemekana alimpiga mateke, mangumi, akampasulia kioo kichwani, kampiga na jiko la mkaa kichwan
BABA WA CHRISS  BROWN AMTAJA  MSICHANA AMBAE ANGEPENDA MWANAE AMUOE- HUYU  HAPA
Gazeti la New York Daily News limefanya Exclusive interview na baba mzazi wa mwimbaji staa Chris Brown na kutoa maoni yake kuhusu mahusiano ya kimapenzi ya mwanae na Rihanna RiRi.

Clinton Brown amesema “sioni maisha marefu kwa Chris Brown kuwa na Rihanna, sijawahi kupendezwa na kurudiana kwao, unajua ni lazima kwenye uhusiano wa kimapenzi uwe na mtu sahihi ambae ni hitaji la kweli na linaloweza kuwa lako kwenye maisha, lakini sio kama hivi”

Clinton amesema hapendi kutumia mifano lakini anadhani watu wameona mahusiano ya mastaa kama Whitney Houston, Michael Jackson, Amy Winehouse na wengine”

Kuhusu mrembo ambae angependa kuona anaolewa na mwanae, Clinton amemtaja Jordin Sparks kwa kusema “nimempenda Jordin, ni msichana mdogo lakini mwenye upeo mkubwa… ana akili na heshima”
JIMMY YEYO ATOA  WIMBO  MPYA  UNAOENDA KWA JINA LA TUNA BANG   
https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/526143_361673357218160_357894419_n.jpg 
msanii  jimmy yeyo  ametoa  kibao  chake  kinachoenda kwa jina la  tunabang  ambacho  kinafanya  vizuri  kweli  katika  vituo  vya redio  ukiachana  na  ngoma  yake  hiyo  jimmy  yeyoo ame  hit na  ngoma  zake  kama          media,            hisiha,  na  nyingine  nyingi 

MUONEKANO KATIKA MAVAZI YA KI AFRICA


VAZI  LA  KITENGE
 
CHEZEA  HATA  WACHINA  WANA  FEEL
 
JAY  ZEE NA BEYONCE  WAKI SHINE  
CHEZEA  KITENGE

PINKY DESERT COLLECTION



SWAHILI  FASHION WEEEK