Tuesday 29 October 2013

MAMA WEMA SEPETU AITUHUMU SERIKALI KWA KUMTELEKEZA MUMEWE MPAKA AMEFARIKI

Wakati Rais Jakaya Kikwete akituma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kutokana na kifo cha Balozi Isack Sepetu, mke wa marehemu amelaumu baadhi ya viongozi wa Serikali, akidai walimtelekeza mumewe kwa kushindwa kushiriki kumuuguza badala yake kuachia familia pekee.

Mariam, ambaye ni mke wa pili wa Balozi Sepetu aliyefunga naye ndoa ya kimila mwaka 1982, alisema mumewe enzi za uhai wake aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi, ikiwamo ya Ubalozi Urusi na kwamba, kwa kutambua mchango wake, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliagiza agharimiwe matibabu lakini hakuna hatua 
zilizochukuliwa.

Akizungumza jana nyumbani kwake, Sinza Dar es Salaam,  Mariam alisema alijaribu kuwasiliana na Wizara ya Afya Zanzibar, lakini hakupata ushirikiano aliopata,  aliamua kumsafirisha mumewe huyo kutoka Zanzibar hadi Dar es Salaam Oktoba 24, mwaka huu na kumpeleka Hospitali ya TMJ  Mikocheni.

“Nishukuru watoto wake wote waliungana na kushiriki kikamilifu kumuuguza baba yao,  wakishirikiana na ndugu na jamaa zetu wachache. Kwa kweli jambo hili limenihuzunisha sana nafikiri  hakupata huduma ya kutosha,” alisema

Wakati Rais Jakaya Kikwete akituma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kutokana na kifo cha Balozi Isack Sepetu, mke wa marehemu amelaumu baadhi ya viongozi wa Serikali, akidai walimtelekeza mumewe kwa kushindwa kushiriki kumuuguza badala yake kuachia familia pekee.

Mariam, ambaye ni mke wa pili wa Balozi Sepetu aliyefunga naye ndoa ya kimila mwaka 1982, alisema mumewe enzi za uhai wake aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi, ikiwamo ya Ubalozi Urusi na kwamba, kwa kutambua mchango wake, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliagiza agharimiwe matibabu lakini hakuna hatua 
zilizochukuliwa.

Akizungumza jana nyumbani kwake, Sinza Dar es Salaam,  Mariam alisema alijaribu kuwasiliana na Wizara ya Afya Zanzibar, lakini hakupata ushirikiano aliopata,  aliamua kumsafirisha mumewe huyo kutoka Zanzibar hadi Dar es Salaam Oktoba 24, mwaka huu na kumpeleka Hospitali ya TMJ  Mikocheni.

“Nishukuru watoto wake wote waliungana na kushiriki kikamilifu kumuuguza baba yao,  wakishirikiana na ndugu na jamaa zetu wachache. Kwa kweli jambo hili limenihuzunisha sana nafikiri  hakupata huduma ya kutosha,” alisema

Wakati Rais Jakaya Kikwete akituma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kutokana na kifo cha Balozi Isack Sepetu, mke wa marehemu amelaumu baadhi ya viongozi wa Serikali, akidai walimtelekeza mumewe kwa kushindwa kushiriki kumuuguza badala yake kuachia familia pekee.

Mariam, ambaye ni mke wa pili wa Balozi Sepetu aliyefunga naye ndoa ya kimila mwaka 1982, alisema mumewe enzi za uhai wake aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi, ikiwamo ya Ubalozi Urusi na kwamba, kwa kutambua mchango wake, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliagiza agharimiwe matibabu lakini hakuna hatua 
zilizochukuliwa.

Akizungumza jana nyumbani kwake, Sinza Dar es Salaam,  Mariam alisema alijaribu kuwasiliana na Wizara ya Afya Zanzibar, lakini hakupata ushirikiano aliopata,  aliamua kumsafirisha mumewe huyo kutoka Zanzibar hadi Dar es Salaam Oktoba 24, mwaka huu na kumpeleka Hospitali ya TMJ  Mikocheni.

“Nishukuru watoto wake wote waliungana na kushiriki kikamilifu kumuuguza baba yao,  wakishirikiana na ndugu na jamaa zetu wachache. Kwa kweli jambo hili limenihuzunisha sana nafikiri  hakupata huduma ya kutosha,” alisema

Wakati Rais Jakaya Kikwete akituma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kutokana na kifo cha Balozi Isack Sepetu, mke wa marehemu amelaumu baadhi ya viongozi wa Serikali, akidai walimtelekeza mumewe kwa kushindwa kushiriki kumuuguza badala yake kuachia familia pekee.

Mariam, ambaye ni mke wa pili wa Balozi Sepetu aliyefunga naye ndoa ya kimila mwaka 1982, alisema mumewe enzi za uhai wake aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi, ikiwamo ya Ubalozi Urusi na kwamba, kwa kutambua mchango wake, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliagiza agharimiwe matibabu lakini hakuna hatua 
zilizochukuliwa.

Akizungumza jana nyumbani kwake, Sinza Dar es Salaam,  Mariam alisema alijaribu kuwasiliana na Wizara ya Afya Zanzibar, lakini hakupata ushirikiano aliopata,  aliamua kumsafirisha mumewe huyo kutoka Zanzibar hadi Dar es Salaam Oktoba 24, mwaka huu na kumpeleka Hospitali ya TMJ  Mikocheni.

“Nishukuru watoto wake wote waliungana na kushiriki kikamilifu kumuuguza baba yao,  wakishirikiana na ndugu na jamaa zetu wachache. Kwa kweli jambo hili limenihuzunisha sana nafikiri  hakupata huduma ya kutosha,” alisema

Wakati Rais Jakaya Kikwete akituma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kutokana na kifo cha Balozi Isack Sepetu, mke wa marehemu amelaumu baadhi ya viongozi wa Serikali, akidai walimtelekeza mumewe kwa kushindwa kushiriki kumuuguza badala yake kuachia familia pekee.

Mariam, ambaye ni mke wa pili wa Balozi Sepetu aliyefunga naye ndoa ya kimila mwaka 1982, alisema mumewe enzi za uhai wake aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi, ikiwamo ya Ubalozi Urusi na kwamba, kwa kutambua mchango wake, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein aliagiza agharimiwe matibabu lakini hakuna hatua 
zilizochukuliwa.

Akizungumza jana nyumbani kwake, Sinza Dar es Salaam,  Mariam alisema alijaribu kuwasiliana na Wizara ya Afya Zanzibar, lakini hakupata ushirikiano aliopata,  aliamua kumsafirisha mumewe huyo kutoka Zanzibar hadi Dar es Salaam Oktoba 24, mwaka huu na kumpeleka Hospitali ya TMJ  Mikocheni.

“Nishukuru watoto wake wote waliungana na kushiriki kikamilifu kumuuguza baba yao,  wakishirikiana na ndugu na jamaa zetu wachache. Kwa kweli jambo hili limenihuzunisha sana nafikiri  hakupata huduma ya kutosha,” alisema

BEN POL AIMISS M-LAB STUDIO ATAJA FAIDA NA HASARA ZA KUONDOKA LABEL HIYO Ben Pol amezielezea faida na hasara za kuondoka kwenye label iliyomtambulisha, MLab huku akisema kwa sasa hana uhuru wa kurekodi nyimbo nyingi kwa wiki kama alivyokuwa kwenye label hiyo.


“Sasa hivi sina freedom ya kurekodi nyimbo 3 kwa wiki kwasababu itabidi upige simu, ufanye booking hata two weeks before, uende utengeneze beat, unaweza ukarekodi wimbo mmoja miezi miwili au mwezi mmoja. Lakini kipindi nipo MLab unarekodi nyimbo nne, hizi Maneno, Nikikupata, Maumivu, ndani ya wiki moja nimerekodi nyimbo tatu kwasababu una all access ya studio, unaweza ukarekodi hata nyimbo mbili siku moja, yaani hiyo access ndio nimeimiss sasa hivi,” alisema Ben Pol.


Akizungumzia faida za kuondoka MLab, Ben Pol amesema kwa sasa ana meneja wake binafsi ambaye ni kaka yake na hivyo mazingira ya kufanya kazi ni rahisi tofauti na kuwa chini ya uongozi wa label.


“Kunakuwa na mlolongo mkubwa hata kama ikitokea kazi kuona maslahi yake ni adimu sana tofauti na ukiwa unafanya mwenyewe.”

UWEZI AMINI TANZANIA IMETEGWA TENA KATIKA MKUTANO WA EACNCHI za Tanzania na Burundi, kwa mara nyingine zimetengwa na wenzao wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya marais wa Kenya, Uganda na Rwanda kukutana mjini Kigali jana. Marais hao walitarajia kujadili namna ya kuimarisha Jumuiya ya Afrika Mashariki kupitia uimarishwaji wa miundombinu, uchumi, biashara pamoja na kuweka mikakati ya shirikisho la kisiasa.

Kitendo cha kuziacha Tanzania na Burundi ambazo ni wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kinazidi kutia shaka mtangamano wa jumuiya hiyo.

Nchi hizo mbili zimeshaeleza kusikitishwa na muungano wa nchi hizo tatu, ambao zimesema unakwenda kinyume cha makubaliano na mkataba wa EAC.

Katika mkutano huo, marais hao, Paul Kagame wa Rwanda, Yoweri Museveni wa Uganda na Uhuru Kenyatta wa Kenya, pamoja na mambo mengine, walitarajia kusaini makubaliano ya kuanzisha kituo kimoja cha kukusanya ushuru kinachotarajia kurahisisha uchukuzi wa bidhaa kutoka Mombasa nchini Kenya, Uganda hadi Rwanda.

Aidha Sudan Kusini ilialikwa ikiidhinishwa kama mshirika katika kikao hicho.

Mkutano huo unakuja baada ya ule uliofanyika mjini Kampala, Uganda, Juni mwaka huu na mwingine uliofanyika Mombasa, Agosti, ambako viongozi hao watatu walipendekeza kupanuliwa kwa Bandari ya Mombasa, ili kuwezesha uharaka wa bidhaa kupitishwa katika kuhudumia kanda nzima.

Mkutano mwingine wa marais wa nchi 15 za Afrika, ikiwamo Tanzania, utafanyika leo nchini hapa, katika kongamano la siku nne ambalo linatarajiwa kuweka kipaumbele kwa uimarishwaji wa huduma za internet katika mataifa hayo.


Kwa mujibu ya waandaaji, zaidi ya wajumbe 1,500 watahudhuria mkutano huo, chini ya uenyeji wa Rais Paul Kagame na Dk. Hamadoun I. Toure, Katibu Mkuu wa Muungano wa Kimataifa wa Mawasiliano ya Kiteknolojia (ITU).
-Mtanzania

MGANGA AKUTWA NA KIGANJA CHA BINADAMU AKIMUUZIA MTEJA WAKE KWA MILIONI 100 HUKO MWANZA.

Mtu mmoja jijini Mwanza anadaiwa kukamatwa na kiganja cha mtu akiwa anajiandaa kumuuzia mteja kwa sh million 100.

Washukiwa walikamatwa  jana  karibia na uwanja wa ndege wa Mwanza  wakifanya  biashara  hiyo  haramu.... 
 Baada  ya  upekuzi  wa  kina, mteja  alikuwa  ana  milioni  100  na mganga alikutwa  na   kiganja cha  binadamu  ambacho kilikuwa  kibichi kikitoa damu.


Kiganja  hicho  kilikuwa  kimevishwa  tunguri  na nywele za binadamu.


RAY C ANARUDI KWA VISHINDO AMPA KIPIGO CHA MWAKA NORA KATIKA hali ya kushangaza, siku chache baada ya kuripotiwa kupona na kuacha matumizi ya madawa ya kulevya, mwanamuziki Rehema Chalamila ‘Ray C’ anadaiwa kugeuka mwanamasumbwi na kumpa kipigo mwigizaji Nuru Nassoro ‘Nora’, Ijumaa Wikienda limenyetishiwa.

Kwa mujibu wa shuhuda wetu, tukio hilo lilijiri wiki iliyopita ndani ya studio moja ya kurekodia muziki iliyopo Kinondoni, Dar ambapo wawili hao walikutana walipokwenda kurekodi ngoma zao.
Ilidaiwa kuwa akiwa studio hapo, Nora alikutana na Ray C ambaye pia alizama mahali hapo bila mawasiliano na prodyuza anayemtengenezea ngoma mpya.


Chanzo hicho kilipasha kuwa baada ya Ray C kuingia studio hapo alimkuta prodyuza huyo akiandaa ngoma ya Nora ambapo alihoji kilichompeleka mwigizaji huyo mahali hapo.

Ilidaiwa kuwa prodyuza huyo ambaye jina halikupatikana alimwambia Ray C kuwa Nora alifika kurekodi wimbo wake.

Ilisemekana kuwa Ray C hakuridhishwa na majibu hayo, akaomba asikilizishwe ngoma hiyo ya Nora lakini baada ya kusikiliza ilidaiwa kwamba Ray C aliiponda mbele ya Nora, jambo ambalo mwigizaji huyo hakufurahishwa nalo.
Ilidaiwa kuwa Nora alipandwa hasira na kujikuta akimjibu mbovu Ray C.

Habari ziliendelea kutiririka kuwa siku hiyo walimalizana kwa kusonyana na siku iliyofuta walikutana tena studio hapo ambapo Ray C alidaiwa kutinga akiwa ‘masanga’.
Ilisemekana kuwa alipomuona Nora alianza kumpa vijembe, jambo lililosababisha Nora kushikwa hasira ndipo wakavaana na kuzichapa.

Hata hivyo, ilidaiwa kuwa Ray C ndiye aliyeibuka bingwa wa ndondi hizo kwa kumtwanga Nora hadi kumvimbisha jicho kabla ya maprodyuza na watu wengine kufanya kazi ya ziada kuwaamulia.
Ilisemekana kuwa baadaye Ray C alitolewa nje ndipo akahamishia hasira kwenye gari la Nora aina ya Toyota Vitz kisha akalivunja kioo na kutambaa zake.

Baada ya kupenyezewa ‘niuz’ hizo gazeti hili lilimtafuta Nora ambaye alikiri kutokea kwa sekeseke hilo huku akibainisha namna alivyoumizwa jicho lake na kuvunjiwa kioo cha pembeni cha gari lake.
Aliongeza kuwa siku hiyo alipoteza pochi wakati wa ugovi huo.

“Ray C alinikuta studio nikifanya wimbo, kilichonishangaza baada ya kuniona tu alibadilika ghafla.
“Nilijua angenishauri kwa kuwa ndiyo ninaanza gemu kumbe mwenzangu alifikiria vingine,” alisema Nora na kuongeza:
“Mbali na kuniumiza jicho lakini alinifanyia mambo ya ajabu sana, kama kusingekuwa na watu wa kutuamulia basi chochote kingetokea.

“Sikwenda kuripoti polisi. Niliamua kusamehe kwa sababu kuna watu walinisihi niachane naye kwa sababu bado kuna mambo yanamwendesha. 

Kwa upande wake Ray C alitafutwa kwa kila njia kupitia simu ya mkononi na kumvizia studio lakini hakupatikana hivyo juhudi za kumpata zinaendelea.

 

NAKAYA AMWONYESHA MWANAE KWA MARA YA KWANZA TOKA AJIFUNGUE

Kai1kai3
Kai2Mtoto  wa nakaya aitwaye kai
nakaya alisindika picha na ujumbe huu:
i'm blessed to be your mother. you are the most beutiful person i have ever seen son.Mungu wetu akuinue na damu ya yesu kristo wa nazareth ikufunike. in jesus name. nakupenda sana mwanangu mzuri

DIAMOND KUFANYA  KAZI NA DAVIDO WA NIGERIA 
d n dDiamond n davidookwakweli namshukuru mwenyezi mungu  nilifanya vitu vingi kidogo  japokuwa  vingine siviwezi kuvisema kwa sasa hiv wakati  wake ukifika nitavizungumzia  kwa sababu nikivizungumzia sasa hivi naweza hata vikaaribu hata hii attention ya hii remix ya my number one niliyofanya na davido  alisema:: platinum
 BALOZI ISAAC ABRAHAM SEPETU KUZIKWA VISIWANI ZANZIBAR
balozi abraham anatarajia kusafirishwa  kuelekea visiwani zanzibar  kwa ajili ya mazishi ambapo ni siku ya jumatano yatafanyika mazishi hayoc03a2f803fd111e38c3f22000ae800af_8