Wanandugu wawili ambao ni mapacha Peter Okoye na Paul Okoye, leo hii
wameushangaza ulimwengu mara baada ya picha zao wakiwa kwenye sebule na
dinning room iliyonakshiwa na dhahabu kwenye samani zake kuzagaa
mitandaoni huku zikisindikizwa na maneno yenye kujiamini ndani yake.


No comments:
Post a Comment